Enrollment numbers for online universities continue to climb, and traditional colleges across the nation continue to add digital courses to their catalog. Let’s take a look at the past, present and future of online education in the U.S. The PastHere’s a quick look at the past and development of online education in the U.S. (1,2)
0 Comments
Je inawezekana kutumia simu kama webcam kwenye kompyuta ambayo haijaja na kamera?Kama umejiuliza swali hilo basi umekuja sehemu sahihi kabisa. Kama una kikao kinachohitaji upige simu kwa kutumia kompyuta yako – mfano kutumia Skype, basi leo tutakuelekeza njia ya kuweza kuifanya simu yako itambulike kama webcam kwenye kompyuta yako.
Watumiaji kadhaa wa simu zinazotumia Android wameripoti kuhusu picha inayoharibu simu. Yaani picha hii inaweza ‘kuzingua’ ufanyaji kazi wa simu yako.Picha hii inayoonesha ziwa, anga ya jioni na pwani inasababisha simu kushindwa kufanya kazi pale ikitumika kama wallpaper – picha kuu ya eneo la apps/nyumbani. Je ni simu gani zinazopata shida?Inasemekana watumiaji wa baadhi ya simu za Samsung na zile za Google Pixel ndio wanaoathirika zaidi ingawa pia kuna baadhi ya simu zingine pia zinazoathirika.
Je ushawahi kujiuliza kwa nini diski zinaanza na namba C badala ya A kwenye kompyuta zinazotumia Windows? Leo fahamu.Kwa watumiaji wa kompyuta wa tokea miaka ya 90 ni rahisi wao kuelewa sababu, au kutojua sababu ila washawahi kutumia kompyuta wakati diski zinatambulika pia kwa namba A.
Historia Programu endeshaji ya Windows ilitengenezwa juu ya mfumo endeshaji mwingine wa kwanza kutoka Microsoft uliokuwa unatambulika kwa jina la MS-DOS. Kipindi hicho mfumo wa diski za flopi ndio zilikuwa zinatumika (floppy drives). Tokea ujio wa Windows 10, tatizo kubwa limekuwa usalama wa masasisho yake (Updates). Mara kwa mara updates/masasisho yanayotumwa na Microsoft kwa watumiaji wake yamekuwa yakileta matatizo makubwa kwa baadhi ya watumiaji wa kompyuta zinazotumia toleo hilo la Windows.
Na sasa kuna toleo la sasisho jipya ambalo unashauriwa kutokubali liingie kwenye kompyuta yako kwa sasa. Toleo la sasisho linalokwenda kwa jina la Windows 10 2004 limeanza kusababisha matatizo mbalimbali kwenye kompyuta za watu duniani kote. Microsoft na watafiti wengine wanawashauri watumiaji ambao bado hawajadownload sasisho hili kusubiri. Nchini Uingereza watu kadhaa wachoma moto minara ya 5G na vifaa vyake kutokana na kuamini habari za uongo kwamba teknolojia hiyo inasambaza virusi vya Corona.Ni jambo ambalo huwezi kulifikiria kutokea katika nchi zilizoendelea lakini jambo linaloonesha kwa kiasi gani habari za uongo (fake news) zinaweza kuleta hasara kubwa katika jamii. Hivi karibuni kuna uvumi ulisambazwa sana mtandaoni ukihusisha teknolojia ya 5G ambayo ilianza kutumika zaidi nchini China kama sababu moja kuu ya ujio wa ugonjwa wa Corona. Watu ambao wameamini taarifa hiyo potovu ya kutengenezwa wamesababisha hasara kwa makampuni kadhaa nchini Uingereza ambayo yalishaanza usambazaji wa huduma za teknolojia hiyo ya kisasa zaidi katika huduma ya intaneti.
Katika kipindi cha wiki moja iliyopita zaidi ya minara mitatu ya 5G inayomilikiwa na Vodafone uingereza iliharibiwa kwa moto. Na huko jijini Birmingham mnara ambao hata ulikuwa hautoi huduma ya 5G bali ni 2G,3G na 4G unaomilikiwa na kampuni nyingine ya EE nao ulichomwa moja. Video ikionesha wafanyakazi wanaosambaza nyaya za huduma ya 5G wakisumbuliwa na mtu anayeamini 5G inahusika kwenye usambazaji wa virusi vya Corona. > Pia kuna chombo cha habari, redio ya ngazi ya jamii, inachukuliwa hatua kwa kumualika mhudumu wa afya, nesi, aliyeongea kwenye kipindi akidai teknolojia ya 5G inanyonya gesi ya oksijeni kutoka kwenye mapafu ya watu. Uvumi usio wa kweli umesambaa kwa haraka zaidi na sasa ndio watu wameamka na kuamua kuchukua hatua baada ya kuona hasara na hatari inayoanza kujitokeza. Uelewa mdogo wa teknolojia ya 5G unaonekana kuchangia katika upotoshwaji huo. ![]() In the research study, conducted in 2018 and 2019 “EI/AOb Child Labour Projects: Transnational best practices and union impacts”, I examined how professional training programmes have enhanced teachers capacity to attract and retain children in school through participatory education techniques and how as a result of the child labour projects, unions have formed stronger alliances with local and national education authorities to advocate for quality public education. When schools reopen after the COVID-19 pandemic, these skills and methods will be very useful as teachers and their unions encourage parents and the wider community to send children back to school and to hold governments to account to provide the necessary resources for the public education system. On field missions for the research study on “EI/AOb Child Labour Projects: Transnational best practices and union impacts” I had the privilege to visit Albania, Mali, Morocco, Uganda and Zimbabwe over the course of eight months. Whether talking to a primary school teacher in a small rural school in Western Uganda or the National Director for Primary Education in Mali, I found the child labour projects were a source of great personal and professional pride and a unifying force for change. |
tos
Welcome to our news feed Categories
All
|